Pole na kazi dada
Nahitaji kujua mtizamo wa wengi kuhusu swala la kufundwa hasa mambo ya ndani hata viuno ikiwezekana.Mm napenda sana kujua utaalam wa hayo mambo hila wengi waekuwa wakiniambia kuwa eti mpaka uwe unaolewa au la sivyo ni kujifunza uhuni.Lkn kwa upeo wangu binafsi mm nina nia ya dhati kujifunza.na pia ningependa kupata ushauri,contact au hata kujua gharama za ufundaji.
1 comments:
hermes
air jordan
yeezy supply
kyrie 6 shoes
longchamp outlet
bape clothing
adidsas yeezy
golden goose sneakers
supreme
golden goose shoes
Post a Comment